7 Quotes by Enock Maregesi about gospel


  • Author Enock Maregesi
  • Quote

    Iwapo watu watakwenda nje ya kusudi la Mungu, hata wawe makini kiasi gani na injili, maneno yao hata yawe ya hekima kiasi gani hayatawasaidia chochote.

  • Tags
  • Share


  • Author Enock Maregesi
  • Quote

    Jukumu la kwanza la kanisa ni kueneza injili duniani kote kama tunavyoambiwa katika mathayo 24:14. Haijalishi utaieneza vipi, kwa sababu Mungu hajasema tuieneze vipi. Lakini la kwanza kabisa ni kuwa kwanza mwaminifu kwa Mungu kuweza kueneza injili duniani kote.

  • Tags
  • Share