14 Quotes by David shamala


  • Author David shamala
  • Quote

    People may not recognized what you are doing today but the future generation will see and ask who did this?.... People who will be the at that time will boldly say"Shamala did this".Ask kwame nkrumah will tell you..

  • Share

  • Author David shamala
  • Quote

    People may not recognized what you are doing today but the future generation will see and ask who did this?.... People who will be there at that time will boldly say"Shamala did this".Ask kwame nkrumah will tell you..

  • Share


  • Author David shamala
  • Quote

    Maisha ni kitabu cha hadithi.Kila huamkapo unafungua ukurasa upyaZipo kurasa za kusisimua,za uzuni,za kuchosha na vile vile kuna kurasa kumbuka.Mwenyezi Mungu pekee ndio mfunuaji wa kurasa hizo.Na yeye ndio anajua zimebaki kurasa ngapi na za Aina gani.Sababu yeye ndio mumiliki halali wa maisha yako.Nia na lengo lake sisi sote tumtegeme yeye katika kila jambo.Hivyo basi kila binadamu anafaa kumwomba afungue kurasa njema na kurasa mbaya afunike.

  • Share