922 Quotes by Enock Maregesi
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Maendeleo ya mtu yatatokana na juhudi za mtu mwenyewe.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Mzazi hamjui mtoto wake na mtoto hamjui mzazi wake. Kila mtu hapa duniani ni wa kipekee na wanasayansi wanatuambia kuwa tuko peke yetu hapa ulimwenguni. Lazima tujifunze kupendana na kuheshimiana.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kama John Doe ana matatizo katika maisha yake acha ayatatue mwenyewe. Akishindwa atakuomba ushauri au ataomba ushauri kutoka kanisani kama ni Mkristo, au msikitini kama Mwislamu, au kutoka katika nyumba yoyote ya ibada kulingana na imani yake. Mtu akikuomba ushauri mshauri kwa moyo wako wote, wala usimshauri kwa unafiki au kinyongo cha aina yoyote ile.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Nusu dakika baada ya kuondoa gari, Murphy aliona kiwiliwili cha mtu kikimwendea mbio kutokea katika nyumba ya magaidi! Hapohapo alisimamisha gari na kuacha taa zikiwaka, halafu akashika bunduki na kushuka – akiwa ameangalia mbele kwa tahadhari kubwa. Alikuwa mwanamke. Debbie! Murphy alipojua ni Debbie, alitupa bunduki na kuchomoka mbio mpaka wakakutana na kukumbatiana kwa nguvu! Murphy alimbeba Debbie na kumbusu kila sehemu, halafu akamfuta machozi na kumbembeleza.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Within the head there's mind. Within the heart there's wisdom. Colonialists ruled the hearts of Africans. But some of them left. However, the rest control heads.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Select what you want in your mind. See what you want in your mind. Expect to get anything you want in your mind as much as you'd like to get something you purchased online. Take it because it's for you.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
My principle of success is SSET. That is, S - Select, S - See, E - Expect, T - Take. Select what you want in your mind. See what you want in your mind. Expect to get anything you want in your mind, as much as you'd like to get something you purchased online. Take it because it's for you.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Mtu akikushauri kufanya kitu ambacho ni kinyume na takdiri ('destiny') ya maisha yako, hata kama huyo mtu hana nia mbaya na wewe, sema 'hapana' kwa hiyo 'ndiyo' yake.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Watu wanaoogopa kufa huogopa pia kuishi.
- Tags
- Share