922 Quotes by Enock Maregesi
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Ukiwa mwema hupaswi kuiogopa serikali, lakini ukiwa mwovu lazima uiogope.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Hekima ni ufunguo wa kufanya maamuzi mema kulingana na msingi wa maarifa ya Biblia.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Mtu akikupa pesa kwa ajili ya kufanyia kitu kibaya chukua. Kisha ipeleke polisi, ambapo utatoa taarifa zake pia.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Dikteta uchwara ni sifa nzuri au sifa mbaya? Tafakari. JPM ni kipenzi cha watu. Lissu ni kipenzi cha watu pia. Kupambana na kipenzi cha watu si kazi rahisi.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Nusuru vizazi vijavyo!
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Mlaodikia ni mtu anayejua kwamba bustani yake ina magugu lakini anaona uvivu kwenda kuipalilia. Kinachofanya aone uvivu kwenda kuipalilia ni raha za dunia hii. Usiwe vuguvugu. Kama umeamua kuwa moto kuwa moto. Kama umeamua kuwa baridi kuwa baridi.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
The candle is the light of life that is constantly thriving to hang on and light up the darkness of life. Mwalimu Julius Kambarage Nyerere was a candle in the wind. He was a fighter fighting the odds to survive. And he did so with incredible power to change the world. Whether your life is long or short upon the earth, it is remarkable that our little flames burns on in spite of the wind, or the challenges of life.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Tumaini ni injini ya imani.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kuandika riwaya ya kijasusi kama Kolonia Santita lazima uishi kama Myahudi. Lazima uishi kifikra!
- Tags
- Share