37 Quotes by Simon Mashalla
- Author Simon Mashalla
-
Quote
Sijawahi ona silaha kali na nzuri kama ukweli. Ukiwa mkweli utaipenda tu. Watu wanaogopa ukweli kwa sababu ya makali yake ndiyo maana waongo.
- Tags
- Share
- Author Simon Mashalla
-
Quote
Nilipozaliwa nilipendwa na kuogopwa, watu walicheza na mimi lakini mimi sikucheza nao. Niliwapenda.
- Tags
- Share
- Author Simon Mashalla
-
Quote
If you get drunk today ask yourself why you never got drunk yesterday, and if you got drunk yesterday ask yourself today why you got drunk yesterday. Drunkenness is bad when it affects someone’s life in a bad way.
- Tags
- Share
- Author Simon Mashalla
-
Quote
Ukilewa leo jiulize kwa nini hukulewa jana na kama jana ulilewa leo jiulize kwa nini jana ulilewa. Ulevi ni mbaya unapoathiri maisha ya mtu.
- Tags
- Share
- Author Simon Mashalla
-
Quote
Wapo watu ambao ni gumzo katika ulimwengu wa dunia. Ukiwatazama lazima utaona tabasamu la ujasiri, ishara yake ni karibu. Enock Maregesi ni mwandishi anayestahili tuzo za juu kwa pongezi. Maneno yake katika uandishi yanaongea yenyewe kwa sauti yenye vigezo. Huwezi kuuliza kwa nini alizaliwa wakati tayari ameshazaliwa. Hongera sana kuzaliwa siku ya leo.
- Tags
- Share
- Author Simon Mashalla
-
Quote
Juzi siyo jana ni muendelezo wa juzi kuitwa jana siyo leo na kesho siyo juzi kumbuka jana.
- Tags
- Share
- Author Simon Mashalla
-
Quote
You don’t have the body you don’t have a debt. Ask for a loan.
- Tags
- Share
- Author Simon Mashalla
-
Quote
Huna mwili huna deni. Kopa.
- Tags
- Share
- Author Simon Mashalla
-
Quote
When I was born I was loved and feared, people played with me but I never played with them. I loved them.
- Tags
- Share