37 Quotes by Simon Mashalla

  • Author Simon Mashalla
  • Quote

    Si vizuri kuonyesha moyo wa upendo kwa wanao, kwani hiyo ni hekima ya kukataliwa, isipokuwa kwa wengine.

  • Tags
  • Share

  • Author Simon Mashalla
  • Quote

    Haipendezi kuchezea ndoa, iwe yako au ya mwenzako, kama kizibo cha soda. Matokeo yake ni uchafu wa thamani ya utu! Heshimu ndoa ili kutunza heshima yako.

  • Tags
  • Share



  • Author Simon Mashalla
  • Quote

    Mwanamke bora anahitaji zawadi bora katika maisha yake, hawezi kukwambia na wala haifahamu.

  • Tags
  • Share




  • Author Simon Mashalla
  • Quote

    Hakuna muziki mtamu zaidi moyoni kama kama muziki usioujua.

  • Share