5 Quotes by Enock Maregesi about health
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Msamaha ni afya.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Lengo kuu la Kolonia Santita kuuza madawa hayo ni kuwafadhili askari wa msituni wa Kolombia (magorila wa vyama visivyokuwa rasmi vya kisiasa au vyama haramu vya kisiasa) kushika hatamu za uongozi wa Kolombia, kwa makubaliano ya Kolonia Santita kutawala biashara ya kokeini ya taifa hilo la Amerika ya Kusini. WODEA lazima ilizuie Shirika la Madawa ya Kulevya la Kolonia Santita kuuza madawa hayo kwa gharama yoyote ile, pesa au damu, kutetea afya na amani ya dunia.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kujitolea kwa moyo mmoja kwa muda mrefu huleta furaha na afya njema kwa mtoaji na kwa mpokeaji pia.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Nina matatizo ya kiafya: Udadisi wa hali ya juu wa kiakili.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Pesa ni ya muhimu kwa sababu ya mahitaji ya lazima ya wanadamu kama vile chakula, maji, malazi, elimu, usafi, mavazi, na afya, lakini ni ya maana kwa sababu ya wanawake.
- Tags
- Share