4 Quotes by Enock Maregesi about media
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Mdanganyifu hudanganya wanaopenda kudanganywa.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Mtu yoyote anayedanganya ni Shetani, kwani Shetani ni baba wa uongo. Tusikubali kudanganywa ovyo, hasa watoto wetu, katika kipindi hiki cha utandawazi na teknolojia.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Robert Louis Stevenson wa Uskochi aliponukuu nahau ya ‘kamera haiwezi kudanganya’ katika kitabu chake cha ‘South Seas’ mwaka 1896, miaka 57 baada ya sanaa ya upigaji wa picha kugunduliwa, hakumaanisha tuwe asili. Hakumaanisha tusizirekebishe picha zetu baada ya kuzipiga na kuzisafisha! Alimaanisha tuwe nadhifu tuonekanapo mbele za watu au mbele ya vyombo vya habari; ambapo picha itapigwa, itasafishwa, itachapishwa na itauzwa kama ilivyo bila kurekebishwa.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Halafa hailipi.
- Tags
- Share