8 Quotes by Enock Maregesi about punishment
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Usilaumu, usilipize kisasi, usilaani, usihukumu, wala usitoe adhabu, lakini kuwa makini sana na maamuzi yako.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kushirikiana na maadui wa nchi yetu ni hatia ya kosa la uhaini. Adhabu yake ni kifo, au kifungo cha maisha.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kusaliti nchi, ambayo majeshi ya ulinzi na usalama yameundwa kuilinda, ni miongoni mwa makosa makubwa kabisa kuweza kufanywa na mtu! Adhabu yake ni kifungo cha maisha jela, au kunyongwa hadi kufa.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Unaweza kusaliti nchi kwa sababu za kiitikadi, kisiasa, matatizo ya akili, au pesa. Ukifanya hivyo na ukabainika; utawajibika kwa adhabu ya kifo, au maisha.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Shetani anapenda damu kumtumia Mungu kwa faida yake kama vile Mungu anavyomtumia Shetani kwa faida yake. Mungu anamtumia Shetani kama wakala wake wa kutoa adhabu kwa binadamu, na Shetani anamtumia Mungu kama wakala wake wa kutoa adhabu kwa binadamu. Mungu anaishi ndani ya damu na damu ina nguvu kuliko Shetani.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Shetani naye anamtumia Mungu kama wakala wake wa kutoa adhabu kwa binadamu kwa sababu Shetani siku hizi anaishi makanisani na misikitini. Anamtumia Mungu kwa maana ya kutuingiza dhambini huku tunaona, tukiwa mbele ya uwepo wa Mungu tunayemwabudu.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Punishment corrects behavior! But there is nothing that corrects behavior like prayer!
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Halafa hailipi.
- Tags
- Share