5 Quotes by Enock Maregesi about religion
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Mungu alilibariki taifa la Israeli katika misingi ya kidini na si katika misingi ya kisiasa au misingi ya kihistoria; na asili ya dini ya Kikristo ni kutoka katika taifa hilo ambalo Biblia imelitaja kama taifa teule la Mwenyezi Mungu. Mgogoro wa Israeli na Palestina ulianzishwa na Israeli mwenyewe. Yakobo alipokea baraka iliyokuwa si ya kwake kwa kutumia hila ya Rebeka. Baraka ya Yakobo ilikuwa ya Esau.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Ukimpigia mtu kura kwa sababu za kishabiki, kikabila, kidini, kirafiki au rushwa, umeshindwa kuongea na nchi yako kama inavyopaswa, umeshindwa kuwa mzalendo wa kweli, usimlalamikie yule aliyechaguliwa.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Bila kujali dini ya mtu, bila kujali anaamini nini, kila mtu anatakiwa kujua kusudi la maisha yake.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Mungu ana mpango na maisha ya kila mtu hapa duniani bila kujali dini, jinsia, kabila, rangi, taifa, au umri, na kila mtu ni wa kipekee.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kuwa mkristo wa kanisa au wa dini ni kughushi imani – na kughushi imani ni dhambi kubwa.
- Tags
- Share