5 Quotes by Enock Maregesi about story
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kuandika hadithi ni kitu kimoja. Kuweka kanuni za fasihi katika hadithi ni kitu kingine.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kanuni za fasihi ndiyo msingi wa maandiko yote ya kitaalamu hapa ulimwenguni. Watu hawana budi kuzifuata kanuni hizo kama wanataka kutumia vipaji vyao katika ngazi ya kimataifa.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kila mtu ana kisa cha kusimulia.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Acha alama katika dunia baada ya kuondoka.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Hadithi ya maisha yangu ni yangu. Wewe ni nani kusema hadithi yangu si ya kweli?
- Tags
- Share