19 Quotes by Enock Maregesi about Education
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Shetani ni mjanja sana. Anajua bila elimu hataweza kutawala dunia, baada ya mpango wa Mungu kukamilika. Anajua, mtu akipata elimu ni rahisi sana kujua kama Shetani hayupo. Hivyo Shetani atatimiza malengo yake bila watu kujua.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Elimu ni ufunguo wa maisha lakini wengine funguo zao zina kutu!
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Nimewapa watoto wangu kila kitu katika maisha isipokuwa umaskini. Lakini bado wamenishinda.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Wape watoto wako urithi wa kutosha ili waweze kufanya kitu, lakini si urithi wa kutosha ili wasiweze kufanya kitu. Wape watoto uhuru wanaostahili kupata, uhuru wa mahesabu, lakini si uhuru wa kila kitu.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Ukiwapa watoto wako uhuru wa shaghalabaghala au uhuru wa kila kitu watajisahau! Wape uhuru wa mahesabu.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Mwachie mwanao urithi wa kutosha ili aweze kufanya kitu, lakini si urithi wa kutosha ili asiweze kufanya kitu.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Watu wanahitaji elimu na ajira kuwaepusha na janga la madawa ya kulevya.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Ili kupambana na matumizi mabaya ya madawa ya kulevya katika jamii ya Tanzania, ni muhimu kutoa elimu kwa Watanzania juu ya madhara yanayoambatana na matumizi ya madawa hayo. Tusipambane na madawa ya kulevya peke yake. Tupambane na elimu ya madawa ya kulevya pia.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Jielimishe, usitegemee walimu kukuelimisha.
- Tags
- Share