64 Quotes by Enock Maregesi about World
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kutakuwepo na nguvu za chanya na hasi katika maisha yako kadiri utakavyoishi hapa duniani. Ukiruhusu moyo wako kuwa chanya utakuwa chanya. Ukiruhusu moyo wako kuwa hasi utakuwa hasi. Shetani hawezi kuona ndani ya moyo wako mpaka wewe mwenyewe umwonyeshe. Ukionyesha chanya Mungu atakupa chanya. Ukionyesha hasi Shetani atakupa hasi.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Be nice to the environment. Be nice to animals. Be nice to people. If you do that, you will leave a mark on the world.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Mungu alikupa vipaji ili uwanufaishe wengine na si kujinufaisha mwenyewe, na aliwapa wengine vipaji ili kukunufaisha wewe na si kujinufaisha wenyewe, kwa lengo la kuleta mabadiliko chanya katika dunia yetu.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Heri kuwa maskini kwa miaka mingi duniani na kuwa tajiri wa milele mbinguni kuliko kuwa tajiri kwa miaka mingi duniani na kuwa maskini wa milele ahera.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Adui wa msalaba ni yule anayeipenda dunia badala ya Mungu, na rafiki wa msalaba ni yule anayempenda Mungu badala ya dunia.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kuna mafanikio ya aina mbili hapa duniani: Mafanikio ya Shetani na mafanikio ya Mungu. Mafanikio ya Shetani ni rahisi kupata na ni ya kitumwa. Mafanikio ya Mungu ni magumu kupata lakini ni ya hakika. Mungu akikubariki, pesa inaongezeka kama inavyoongezeka saa.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Hata hivyo, Shetani anaweza kutudanganya kupitia tamaduni zetu tulizozaliwa nazo. Utamaduni, dunia tunapoishi, ndiyo chanzo cha udanganyifu huu. Yesu Kristo alikufa msalabani ili tupate uhuru kutoka kwa Shetani. Chukua hatua sasa kwa sababu Shetani anaweza kukuteka, na kukufanya mtumwa tena.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Ser bom para o ambiente. Seja gentil com os animais. Seja gentil com as pessoas. Se você fizer isso, você vai deixar uma marca no mundo.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Dunia ni mbaya kwa sababu sisi wenyewe ni wabaya. Vitu ambavyo ni viovu ndivyo tunavyovipenda zaidi kuliko vinavyotustahili.
- Tags
- Share