84 Quotes by Enock Maregesi about people
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kitabu cha 'Kolonia Santita' ni kitabu cha wasomi na wasiokuwa wasomi, watu wa mijini na watu wa vijijini, watu wazima, vijana na watoto. Hadhira ya kitabu hiki ni jamii nzima ya Tanzania.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Sina jinsi. Nguzo ya maisha yangu ni historia ya maisha yangu. Historia ya maisha yangu ni urithi wa watu waliojifunza kusema hapana kwa ndiyo nyingi – waliojitolea vitu vingi katika maisha yao kunifikisha hapa nilipo leo – walionifundisha falsafa ya kushindwa si hiari. Siri ya mafanikio yangu ni kujitahidi kwa kadiri ya uwezo wangu wote; au 'pushing the envelope' kwa lugha ya kigeni.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Serikali inayodhulumu wananchi wake ni hatari kuliko simba.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
People speak broken Swahili on purpose. Business people for instance will speak Sheng – a mixture of Swahili and English – because that’s what people want to hear. And what is the government doing? They speak broken Swahili most of the time. Swahili is getting lost and I am really sorry for the future generations.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Be nice to the environment. Be nice to animals. Be nice to people. If you do that, you will leave a mark on the world.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Watu wakikuonyesha tabia zao za ndani kabisa waamini. Wanajijua vizuri zaidi, kuliko unavyowajua.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Watu wakikuonyesha tabia zao za ndani kabisa usisubiri wakuonyeshe tena ndiyo uwaamini. Waamini kwa mara ya kwanza. Mtu, kwa mfano, akionyesha kwa mara ya kwanza kuwa si mwaminifu mwamini. Anajijua zaidi kuliko unavyomjua. Aidha, mtu akikwambia anakupenda halafu akakupiga ni mnafiki. Maneno yake yatasema anakupenda, vitendo vyake vitasema hakupendi. Ukiwa makini na matendo ya mtu, si maneno yake, utamjua. Sikiliza maoni ya watu! Kuwa makini na matendo ya mtu.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Write as much as you can. Read as much as you can. Use the library and the internet carefully for research and talk to people about things that matter. If you have an idea in your head talk it to people as a normal conversation, to get their natural opinions. And don’t forget to jot down discreetly any new ideas you get from people. God may use other people to convey messages to you, that may add more information to the ideas you already have.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
To be able to influence Tanzanian literature and African literature, and sell our books in Tanzania as well as in our continent, we need to be committed to what we do. And what we do is writing. Write as much as you can. Read as much as you can. Use the library and the internet carefully for research and talk to people, about things that matter. To make a living from writing, and make people read again in Tanzania and Africa; we must write very well, very good stories.
- Tags
- Share