30 Quotes by Enock Maregesi about Problems
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Matatizo ya watu yamekuwa makubwa kuliko Injili. Mungu hasisimuliwi na matatizo yako. Anasisimuliwa na imani yako.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
The problems that arise in our lives God has allowed them to happen, for special purposes, because He loves us.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Matatizo tunayopitia si matatizo kwa ukuaji wetu. Mungu hafanyi hivyo eti kutukomoa. Anafanya hivyo kwa faida yetu ya baadaye.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kabla hujapona matatizo yanayokusumbua ponya roho yako kwanza, kabla hujakwenda kwa mchungaji, roho yako inajua kila kitu katika maisha yako.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Tunapaswa kuyafikiria madhaifu yetu na dhambi zetu kwa makini sana, kwa kiasi cha kuyashinda madhaifu hayo na dhambi hizo, kabla hatujatoa maamuzi makali dhidi ya wenzetu. Tunawezaje kumlaumu mtu wakati hata sisi wenyewe tunaweza kuwa na matatizo makubwa? Tusiwe wanafiki. Badala ya kulaumu, saidia.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Ukienda katika kituo cha watoto yatima halafu watoto wakakulilia shida zao na ukaondoka bila kuwasaidia chochote, hutalala vizuri usiku.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Unapokuwa na matatizo makubwa katika maisha, Shetani anakuandama sana, Mungu ana mpango maalumu na maisha yako.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Unapokumbana na matatizo makubwa katika maisha yako ujue Mungu ana mpango maalumu na maisha yako. Ndiyo maana Shetani anakuandama hivyo.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Shetani hataacha kukuandama. Atakuandama mpaka siku utakapookoka. Yaani, siku utakapookolewa na Yesu Kristo, siku ambapo Shetani hatakuwepo tena. Silaha kuu tunayotakiwa kuwa nayo ni imani. Mungu hababaishwi na matatizo yako. Anababaishwa na imani yako.
- Tags
- Share