84 Quotes by Enock Maregesi about people
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Upendeleo na msamaha ni sumu na baraka ya usuluhishi miongoni mwa watu kwa mpangilio huo. Yaani, upendeleo ni sumu ya usuluhishi, msamaha ni baraka ya usuluhishi. Usuluhishi wenye msamaha, usiokuwa na upendeleo wowote, ni dawa ya uhusiano mwema miongoni mwa watu. Upendeleo ni sumu ya usuluhishi – Msamaha ni kiuasumu cha usuluhishi.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Ukikosana na mwanamke usimpige mchana. Mpige usiku. Ukimpiga mchana watu watasema umemwonea. Ukimpiga usiku watu watasema huenda alikuwa na makosa. Wanawake hawatakiwi kupigwa.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Hata hivyo, Shetani anaweza kutudanganya kupitia tamaduni zetu tulizozaliwa nazo. Utamaduni, dunia tunapoishi, ndiyo chanzo cha udanganyifu huu. Yesu Kristo alikufa msalabani ili tupate uhuru kutoka kwa Shetani. Chukua hatua sasa kwa sababu Shetani anaweza kukuteka, na kukufanya mtumwa tena.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Maombi ya sifa huunganisha watu wa Mungu na hutayarisha njia kwa ajili ya uwezo wa Mungu katika maisha yetu. Thamani ya maombi ya sifa wakati wa matatizo ni kuimarisha imani yetu, na kuwa karibu na Mungu wetu. Mungu anataka tumpe sifa na kumshukuru kwa kila jambo, kama Mtume Paulo anavyosema katika waraka wa kwanza wa Wathesalonike 5:16-18. Kumshukuru Mungu wakati wa matatizo ni amri, si ombi.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kati ya nchi yako na serikali yako ni kitu gani unakipenda zaidi? Ipende zaidi nchi yako, kuliko serikali yako!
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Ukiipenda sana nchi yako ni rahisi sana kuichukia serikali yake!
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Ser bom para o ambiente. Seja gentil com os animais. Seja gentil com as pessoas. Se você fizer isso, você vai deixar uma marca no mundo.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kuishi na watu vizuri ni ufundi mkubwa.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
To be able to love people, humanity and nature, unconditionally, annul yourself before the Upper One.
- Tags
- Share