27 Quotes by Enock Maregesi about tajiri
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Maskini hufanya kazi kwa bidii kupata pesa. Tajiri hutumia pesa kupata pesa.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Maskini ni mdogo kuliko matatizo yake. Tajiri ni mkubwa kuliko matatizo yake.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Maskini huamini unahitaji pesa kupata pesa. Tajiri huamini utapata pesa kwa kutumia pesa za wengine.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Maskini ana wivu wa chuki. Tajiri ana wivu wa maendeleo.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Fikiri kama anavyofikiri tajiri. Ukifikiri tofauti na anavyofikiri tajiri, utakufa maskini.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Huwezi kuwa tajiri iwapo wewe ni limbukeni wa hela.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kama una akili kuwa kawaida. Kama una nguvu kuwa mkarimu. Kama una pesa kuwa mnyenyekevu. Ukitaka kuwa na akili kuwa kawaida. Ukitaka kuwa na nguvu kuwa mkarimu. Ukitaka kuwa na pesa kuwa mnyenyekevu.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
If you are smart be simple. If you are powerful be generous. If you are rich be humble. If you want to be smart be simple. If you want to be powerful be generous. If you want to be rich be humble.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Bila tajiri huwezi kuwa tajiri wa kupindukia.
- Tags
- Share