33 Quotes by Enock Maregesi about poor
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Maskini ni mdogo kuliko matatizo yake. Tajiri ni mkubwa kuliko matatizo yake.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Maskini huamini unahitaji pesa kupata pesa. Tajiri huamini utapata pesa kwa kutumia pesa za wengine.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Maskini ana wivu wa chuki. Tajiri ana wivu wa maendeleo.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Fikiri kama anavyofikiri tajiri. Ukifikiri tofauti na anavyofikiri tajiri, utakufa maskini.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kwa mwanamke wa kuoa natafuta hasanati. Akiwa mbaya atakuwa mzuri. Akiwa maskini atakuwa tajiri. Akiwa gumbaru atakuwa msomi. Akiwa mshamba atakuwa mjanja. Akiwa mjinga atapata maarifa. Nitampenda zaidi kwa mazuri kuliko mabaya.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kuwa tajiri si kazi rahisi. Ukipata milioni ya kwanza utataka nyingine kulinda hiyo ya kwanza. Ukipata ya pili utataka mbili zingine kulinda hizo mbili za kwanza, n.k. Si kazi rahisi. Si kama unavyofikiria. Utajiri haujanipa furaha. Umenipa uhuru. Ndugu zangu ni maskini wa kutupwa. Ningependa kuishi kama maskini mwenye pesa nyingi.
- Tags
- Share