84 Quotes by Enock Maregesi about people
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Ujasusi ni kitu cha muhimu kwa maendeleo ya nchi yoyote. Watu wanaoshughulika na ujasusi wanapaswa kuwa makini mno kwani kazi yao ni nyeti sana kulinganisha na kazi za watu wengine. Kosa dogo la kiusalama linaweza kubadili mwelekeo wa historia ya nchi.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Novelists and the literary world play an important part in shaping languages. The Swahili they write influence the readers and their languages. The literary obstacle in Tanzania is not that people do not read, but that they don’t read because there are no interesting writers.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Silaha kuu ya uchoyo ni kujitolea kwa ajili ya watu wengine. Ni upendo.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Nitajisikia raha sana kufungwa kwa ajili ya matatizo watu.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Unapofikia hatua ya kuwa na kila kitu katika maisha, unapokuwa umefanya kila kitu ulichotamani kufanya katika maisha, unakuwa na bahari nzima ndani ya tone ambalo ni wewe. Unaridhika. Wewe si tone tena ndani ya bahari, wewe ni bahari ndani ya tone. Kinachobaki baada ya hapo ni kusaidia jamii iliyosaidia kukulea ulipokuwa mdogo, kuacha alama katika dunia kabla na baada ya wewe kuondoka, bila kujali watu watasema nini juu ya maisha yako.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Maumivu ya matatizo ya yule aliyekukosea hayana tofauti na maumivu ya matatizo ya wewe uliyekosewa. Adui yako (kwa mfano) akifiwa na mke aliyempenda sana, atajisikia vibaya kama utakavyojisikia vibaya kufiwa na mke uliyempenda sana. Kuwa na huruma kwa waliokukosea, wakati wa shida.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Mungu alisema tupendane katika shida na raha; Luka 6:27-36. Katika matatizo mpende hasimuyo. Maumivu ya watu hufanana.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Toa msamaha kwa waliokukosea kwa sababu dhambi zilizofanya mkosane zilitoka kwa Shetani.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
People think that other international languages are smarter and more business wise. But they have to understand that we have to preserve our culture.
- Tags
- Share