76 Quotes About Maisha
- Author Simon Mashalla
-
Quote
Ukionyesha maisha ambayo si yako kwa watu, ujue unajipotezea muda wako pasipo kujijua. Waache watu waone wenyewe.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Katika maisha watu watakufitini, watakurubuni na watakukatisha tamaa. Sema hapana kwa ndiyo nyingi.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Radia hakuwa na makosa. Wengi huishi maisha yao bure. Yeye aliishi ya kwake kwa ajili ya watu. Hakuishi tu kama raia wa Tunisia. Aliishi kama raia wa uanadamu, maadili mema na uchapakazi. Watu walimsifu kwa kuwa na kaulimbiu ya 'Acha dunia katika hali nzuri kuliko ulivyoikuta'.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Dunia imekata tamaa. Matatizo ya watu yamekuwa makubwa kuliko ukombozi wa maisha yao. Sekunde moja ya toba inaweza kukupa ufalme wa mbinguni. Hujachelewa.
- Tags
- Share
- Author Simon Mashalla
-
Quote
Ukilewa leo jiulize kwa nini hukulewa jana na kama jana ulilewa leo jiulize kwa nini jana ulilewa. Ulevi ni mbaya unapoathiri maisha ya mtu.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Ubatizo ni toba iletayo ondoleo la dhambi. Mwangushe Goliati wa uzinzi katika maisha yako kwa kumtumia Yesu Kristo, ambaye ni Daudi wa mapandikizi yote ya dhambi katika maisha yetu.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Usiingilie mambo ya mtu mwingine bila kibali kutoka kwa Mungu. Kuingilia mambo ya mtu mwingine bila kibali kutoka kwa Mungu ni dhambi. Dhambi hiyo itakuathiri. Hivyo, jali mambo yako – ya mwingine Mungu anayafanyia kazi – hadi utakapoitwa na Mungu kuingilia kati. Kuingilia kati mambo ya mtu mwingine kunaweza kuathiri mpango wa Mungu katika maisha yake. Hivyo, acha.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kabla hujapona matatizo yanayokusumbua ponya roho yako kwanza, kabla hujakwenda kwa mchungaji, roho yako inajua kila kitu katika maisha yako.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Ukitaka kuwa na mashabiki fanya kitu ambacho si cha kawaida katika maisha yako, kila siku.
- Tags
- Share