76 Quotes About Maisha
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Unapokuwa na matatizo makubwa katika maisha, Shetani anakuandama sana, Mungu ana mpango maalumu na maisha yako.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Unapokumbana na matatizo makubwa katika maisha yako ujue Mungu ana mpango maalumu na maisha yako. Ndiyo maana Shetani anakuandama hivyo.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Tayari Mungu ameshakufadhili. Tafuta kibali chake uishi kama anavyotaka. Kibali cha Mungu ndiyo mtaji wa maisha yako.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kitu kikishindikana katika maisha yako kamwe usikate tamaa kwa sababu kushindwa ni mama wa mafanikio na kukata tamaa ni mama wa kushindwa.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Maisha yangu ni darasa.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
ATP hutumika katika kipindi ambapo mtu anakuwa amekata tamaa kabisa katika jambo lolote analolifanya, na yeyote anayetumia ATP ana uwezo mkubwa wa kufanikiwa katika maisha yake. Hivyo, usikate tamaa, jitahidi kwa kadiri ya uwezo wako WOTE.
- Tags
- Share
- Author Simon Mashalla
-
Quote
Mwanamke bora anahitaji zawadi bora katika maisha yake, hawezi kukwambia na wala haifahamu.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Nuhu anasemekana kuwa mtu aliyedharaulika sana huko Babeli. Maisha yake yalijaa utata. Lakini ukweli ni kwamba, bila Nuhu mimi na wewe tusingekuwapo. Unayemdharau sana mwogope sana.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Katika maisha ni vigumu kupata jibu sahihi kwa akili yako mwenyewe.
- Tags
- Share