Wakati mwingine inaweza kuonekana kuwa kadiri unavyozidi kujitolea kwa ajili ya watu wengine ndivyo unavyozidi kuwa maskini, lakini hii si kweli. Huduma kwa ajili ya watu wengine huleta maana fulani na ukamilifu katika maisha yetu kwa namna ambayo utajiri, madaraka na mali haviwezi kushindana nao. Mungu hababaishwi na kiasi gani unatoa. Anababaishwa na imani uliyonayo wakati unatoa. Ukitoa kidogo inatosha. Ukitoa kingi inatosha pia.

-Enock Maregesi

Select a background
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image

More quotes by Enock Maregesi