Watu hubariki wenzao ambao ni wakarimu, na hulaani wenzao ambao ni wabahili. Ukiwa mkarimu kwa watu umekopa neema kutoka kwa Mungu, na Mungu atakulipa kutokana na matendo yako.

-Enock Maregesi

Select a background
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image

More quotes by Enock Maregesi