Kwa mfano, uko kwenye mashindano ya mbio za mita 100. Utakapofika kwenye kamba, mwisho wa hizo mita 100, utakuwa umechoka sana. Lakini kocha anakuhimiza uendelee mbele mita nyingine 50! Unaweza kufika ukiwa mzima au unaweza kufika ukiwa umezimia. Lakini usijali. Ukiendelea mita nyingine 50 utakuwa umetumia uwezo wako wote uliopewa na Mwenyezi Mungu. Ukitumia kanuni hiyo katika maisha yako ya kawaida utaweza kufanikiwa.

-Enock Maregesi

Select a background
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image

More quotes by Enock Maregesi