Kinachotokea katika dunia hii si kitu kizuri cha kuzoea au hata kufikiria. Hivyo tuna haki ya kuwa na mawazo, hasira na wanyonge kuhusiana na suala zima la maisha yetu hapa duniani. Hata hivyo hali hii itabaki kuwa hivyo kwa sababu Mungu ametaka iwe hivyo kwa sasa. Kwa maana hiyo, hekima ni kukubaliana na mapenzi ya Mungu. Lazima tukubaliane na kisichoweza kufikirika kuweza kubadilika.

-Enock Maregesi

Select a background
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image
Awesome background image

More quotes by Enock Maregesi