111 Quotes by Enock Maregesi about life
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Mtu aliyepoteza kila kitu katika maisha yake ana uwezo wa kufanya chochote.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Mtu aliyepoteza kazi na mke na watoto wake kuuwawa kwa mfano, watu wanapaswa kuwa makini na yeye, ana uwezo wa kufanya chochote.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Hakuna uponyaji pasipo imani ya kweli. Giza linapoingia katika maisha yako ongea na Mungu. Halafu ongea na tatizo linalokusumbua. Kama tatizo linalokusumbua ni saratani, iambie saratani iondoke na kamwe isirudi katika mwili wako tena. Baada ya hapo, nenda kwa mchungaji. Jiweke wakfu, kwanza, kabla ya kuombewa.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Usitukane kamwe. Pigana itakapobidi.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Maombi ya sifa huunganisha watu wa Mungu na hutayarisha njia kwa ajili ya uwezo wa Mungu katika maisha yetu. Thamani ya maombi ya sifa wakati wa matatizo ni kuimarisha imani yetu, na kuwa karibu na Mungu wetu. Mungu anataka tumpe sifa na kumshukuru kwa kila jambo, kama Mtume Paulo anavyosema katika waraka wa kwanza wa Wathesalonike 5:16-18. Kumshukuru Mungu wakati wa matatizo ni amri, si ombi.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Maisha ni Dunia. Lakini Dunia ni basi. Sisi ni wasafiri. Mtu anapokufa amefika mwisho wa safari yake, huku Dunia ikiendelea.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kuishi na watu vizuri ni ufundi mkubwa.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kuna watu hawaamini kama Mungu yupo, lakini maisha yao yanaamini.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kuna maisha baada ya saa tisa na nusu. Kuwa makini na raia.
- Tags
- Share