56 Quotes by Enock Maregesi about watu
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Watu wote ni wa Mungu, watu ni matatizo. Wewe huna mtu, lakini bado unapambana na Mungu kuhusu watu.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kinachosababisha tupambane na Mungu ni matatizo, ambayo huletwa na watu, na tunapambana kwa silaha ya uongo.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Usidharau midomo ya watu. Kuna watu wanaona mbele.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Mungu haamui jinsi watu wanavyoamua. Mtu akikwambia huna kipaji muulize yeye ni nani.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Watu wengi hawana uelewa ndiyo maana hawajui.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Watu wakiwa wamekasirika ongea nao jibu; usiongee nao tatizo.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kiongozi kwa sababu ya haki akibarikiwa na Mungu, hata watu anaowaongoza watabarikiwa na Mungu pia. Lakini kama kiongozi amelaaniwa na Mungu kwa sababu ya uovu, hata watu anaowaongoza watalaaniwa pia.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kwa nini watu wana kawaida ya kuona thamani ya mtu baada ya mtu kufariki? Kwa nini watu wana kawaida ya kuona thamani ya pumzi katika kipindi ambacho mtu hana uwezo tena wa kuvuta hewa? Nini thamani ya pumzi? Thamani ya pumzi ni kukufanya uwe wewe na si udongo.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Ujasusi ni kitu cha muhimu kwa maendeleo ya nchi yoyote. Watu wanaoshughulika na ujasusi wanapaswa kuwa makini mno kwani kazi yao ni nyeti sana kulinganisha na kazi za watu wengine. Kosa dogo la kiusalama linaweza kubadili mwelekeo wa historia ya nchi.
- Tags
- Share