111 Quotes by Enock Maregesi about life
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Shindana na wenzako kuwa juu zaidi katika tasnia uliyojichagulia.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kila mtu anapaswa kuwa na siri angalau moja katika maisha yake.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Mungu ni mwandishi wa hadithi ya maisha yangu na ndiye anayeandika ukurasa wa mwisho.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kama John Doe ana matatizo katika maisha yake acha ayatatue mwenyewe. Akishindwa atakuomba ushauri au ataomba ushauri kutoka kanisani kama ni Mkristo, au msikitini kama Mwislamu, au kutoka katika nyumba yoyote ya ibada kulingana na imani yake. Mtu akikuomba ushauri mshauri kwa moyo wako wote, wala usimshauri kwa unafiki au kinyongo cha aina yoyote ile.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Mtu akikushauri kufanya kitu ambacho ni kinyume na takdiri ('destiny') ya maisha yako, hata kama huyo mtu hana nia mbaya na wewe, sema 'hapana' kwa hiyo 'ndiyo' yake.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Ukitaka kuishi usiogope kufa. Kwa maneno mengine, ukitaka kufanikiwa katika maisha yako, usiogope kufa.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kujiponya kisaikolojia lazima unyanyuke kiroho hadi katika ulimwengu wa roho, na uyatazame maisha yako kutokea juu kuja chini.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Nimewapa watoto wangu kila kitu katika maisha isipokuwa umaskini. Lakini bado wamenishinda.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Wape watoto wako urithi wa kutosha ili waweze kufanya kitu, lakini si urithi wa kutosha ili wasiweze kufanya kitu. Wape watoto uhuru wanaostahili kupata, uhuru wa mahesabu, lakini si uhuru wa kila kitu.
- Tags
- Share