84 Quotes by Enock Maregesi about people
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Hutaweza kumiliki watu bila damu ya Mwanakondoo.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Katika maisha watu watakufitini, watakurubuni na watakukatisha tamaa. Sema hapana kwa ndiyo nyingi.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Radia hakuwa na makosa. Wengi huishi maisha yao bure. Yeye aliishi ya kwake kwa ajili ya watu. Hakuishi tu kama raia wa Tunisia. Aliishi kama raia wa uanadamu, maadili mema na uchapakazi. Watu walimsifu kwa kuwa na kaulimbiu ya 'Acha dunia katika hali nzuri kuliko ulivyoikuta'.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Mungu alitengeneza familia. Alitengeneza koo, makabila na mataifa, ili watu wajuane na kuheshimiana.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Usuluhishi ni dawa ya uhusiano mwema miongoni mwa watu.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Watu hawashabikii watu wa kawaida; wanashabikia watu ambao si wa kawaida.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Dunia imekata tamaa. Matatizo ya watu yamekuwa makubwa kuliko ukombozi wa maisha yao. Sekunde moja ya toba inaweza kukupa ufalme wa mbinguni. Hujachelewa.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Matatizo ya watu yamekuwa makubwa kuliko Injili. Mungu hasisimuliwi na matatizo yako. Anasisimuliwa na imani yako.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Msamaha si kwa ajili ya watu wenye mabawa ya kuku, ni kwa ajili ya watu wenye macho ya tai. Kua kuujua msamaha.
- Tags
- Share