69 Quotes About Distortion
- Author Craig D. Lounsbrough
-
Quote
The ‘fact’ of my actions frequently collide with the ‘fiction’ of my words. And at what point will I live what I say, so I will avoid what I do?
- Tags
- Share
- Author Abhijit Kar Gupta
-
Quote
Avoid jumping into conclusion! This may cause your idea fractured. Authority will not be responsible!
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Kuwa makini na kila kitu unachofanya kwa maana ubongo ni kitu cha ajabu, ubongo una uwezo wa kukupotosha.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Sikujui.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Ukitambua vitu vya muhimu katika maisha yako hapa duniani na kuvipa kipaumbele cha kwanza, ukatumia kipaji ulichopewa na Mungu na ukafanya kazi kwa bidii na maarifa, halafu ukashindana na wenzako kuwa juu zaidi katika tasnia uliyojichagulia, ukafanya kila kitu kwa makini ukihofia maamuzi ya ubongo wako, utaacha urithi kwa faida ya vizazi vijavyo. Kuwa na akili, kuwa na uwezo wa kujiwekea malengo, kuwa mchapakazi hodari. Namna hiyo, hakuna kitakachoweza kushindikana.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Sikujui. Lakini naamini hungependa kuishi maisha yako hapa duniani bila kuacha urithi au kumbukumbu ya aina yoyote katika jamii.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Tambua vitu vya muhimu katika maisha yako ijapokuwa unaweza kuacha alama katika dunia bila kujitambua baada ya kuondoka.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Tumia kipaji ulichopewa na Mungu.
- Tags
- Share
- Author Enock Maregesi
-
Quote
Fanya kazi kwa bidii na maarifa!
- Tags
- Share