SM

Quotes by Simon Mashalla

Simon Mashalla's insights on:

Kabla hujanifahamu tayari nimeshakujua, na ukinifahamu utaona pasipo kujijua, na huwezi kunijua.
"
Kabla hujanifahamu tayari nimeshakujua, na ukinifahamu utaona pasipo kujijua, na huwezi kunijua.
Hakuna muziki mtamu zaidi moyoni kama kama muziki usioujua.
"
Hakuna muziki mtamu zaidi moyoni kama kama muziki usioujua.
Love is refreshment undefined its flavor. You will not prevent it.
"
Love is refreshment undefined its flavor. You will not prevent it.
Migongano ya kutarajia haina maana kamili. Haifundishi.
"
Migongano ya kutarajia haina maana kamili. Haifundishi.
Mwenye hakika hafahamu kutokuwa na hakika kwa mwenye hakika.
"
Mwenye hakika hafahamu kutokuwa na hakika kwa mwenye hakika.
Mwanamke bora anahitaji zawadi bora katika maisha yake, hawezi kukwambia na wala haifahamu.
"
Mwanamke bora anahitaji zawadi bora katika maisha yake, hawezi kukwambia na wala haifahamu.
Shetani akikuweza anatamani aone kama amekuweza ili ashangilie.
"
Shetani akikuweza anatamani aone kama amekuweza ili ashangilie.
Mapenzi ni kiburudisho kisichojulikana ladha yake. Huwezi kuyazuia.
"
Mapenzi ni kiburudisho kisichojulikana ladha yake. Huwezi kuyazuia.
Haipendezi kuchezea ndoa, iwe yako au ya mwenzako, kama kizibo cha soda. Matokeo yake ni uchafu wa thamani ya utu! Heshimu ndoa ili kutunza heshima yako.
"
Haipendezi kuchezea ndoa, iwe yako au ya mwenzako, kama kizibo cha soda. Matokeo yake ni uchafu wa thamani ya utu! Heshimu ndoa ili kutunza heshima yako.
Si vizuri kuonyesha moyo wa upendo kwa wanao, kwani hiyo ni hekima ya kukataliwa, isipokuwa kwa wengine.
"
Si vizuri kuonyesha moyo wa upendo kwa wanao, kwani hiyo ni hekima ya kukataliwa, isipokuwa kwa wengine.
Showing 1 to 10 of 37 results