#Tajiri

Active
27quotes
Explore
Standalone tag

Quotes about tajiri

"
Bila tajiri huwezi kuwa tajiri wa kupindukia.
"
If you are smart be simple. If you are powerful be generous. If you are rich be humble. If you want to be smart be simple. If you want to be powerful be generous. If you want to be rich be humble.
"
Kama una akili kuwa kawaida. Kama una nguvu kuwa mkarimu. Kama una pesa kuwa mnyenyekevu. Ukitaka kuwa na akili kuwa kawaida. Ukitaka kuwa na nguvu kuwa mkarimu. Ukitaka kuwa na pesa kuwa mnyenyekevu.
"
Huwezi kuwa tajiri iwapo wewe ni limbukeni wa hela.
"
Fikiri kama anavyofikiri tajiri. Ukifikiri tofauti na anavyofikiri tajiri, utakufa maskini.
"
Maskini ana wivu wa chuki. Tajiri ana wivu wa maendeleo.
"
Maskini huamini unahitaji pesa kupata pesa. Tajiri huamini utapata pesa kwa kutumia pesa za wengine.
"
Maskini ni mdogo kuliko matatizo yake. Tajiri ni mkubwa kuliko matatizo yake.
"
Maskini hufanya kazi kwa bidii kupata pesa. Tajiri hutumia pesa kupata pesa.
"
Maskini hana nidhamu ya mapato na matumizi. Tajiri ana nidhamu ya mapato na matumizi.
Showing 1 to 10 of 27 results