Quotes by Chrisper Malamsha

Kuna watu wanatumia nguvu nyingi nyingi kusafisha kilichopita na kusahau kama hakuna marudio,usikumbuke ya yaliyopita bali jifunze kupita hayo.
"
Kuna watu wanatumia nguvu nyingi nyingi kusafisha kilichopita na kusahau kama hakuna marudio,usikumbuke ya yaliyopita bali jifunze kupita hayo.
Stupid Life Made Me Nice
"
Stupid Life Made Me Nice
like to know things that you do not know in order to increase knowledge .
"
like to know things that you do not know in order to increase knowledge .
Everybody is a crook sees money ...
"
Everybody is a crook sees money ...
Mimi ni mmoja kati ya wale wasiopenda maendeleo ya watu wachache au peke yako ndomana nimechagua mabadiliko katika maisha yangu sisubirii wanasiasa
"
Mimi ni mmoja kati ya wale wasiopenda maendeleo ya watu wachache au peke yako ndomana nimechagua mabadiliko katika maisha yangu sisubirii wanasiasa
When the wrong people follow your life, the right things start happening.
"
When the wrong people follow your life, the right things start happening.
Mara nyingi kushinda Ugomvi ndio Heshima isiyo na maana kwenye jamii inayotambua maana ya upendo.
"
Mara nyingi kushinda Ugomvi ndio Heshima isiyo na maana kwenye jamii inayotambua maana ya upendo.
I want to be so successful that one day my mom never has to buy a thing for herself again
"
I want to be so successful that one day my mom never has to buy a thing for herself again
Anzia popote pale ulipo kwa chochote ulichonacho,Ipo siku utakuwa mtu fulan uliyetaman kuwa kwa miaka mingi
"
Anzia popote pale ulipo kwa chochote ulichonacho,Ipo siku utakuwa mtu fulan uliyetaman kuwa kwa miaka mingi
Dunia nzima kuna ubaguzi wa Ndani na Nje toka miaka mingi tuu
"
Dunia nzima kuna ubaguzi wa Ndani na Nje toka miaka mingi tuu
Showing 1 to 10 of 23 results